Ezekieli 33:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+ Yohana 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+
33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+
22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+