Ezekieli 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama niko dhidi yako, Ee jiji, naam mimi,+ nami nitayatenda katikati yako maamuzi ya hukumu machoni pa mataifa.+
8 kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama niko dhidi yako, Ee jiji, naam mimi,+ nami nitayatenda katikati yako maamuzi ya hukumu machoni pa mataifa.+