Yeremia 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Israeli asiye mwaminifu ameonyesha nafsi yake kuwa yenye uadilifu kuliko Yuda anayetenda kwa hila.+ Mathayo 12:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki+ nao watakihukumu kuwa chenye hatia;+ kwa sababu wao walitubu juu ya lile alilohubiri Yona,+ lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Yona yuko hapa.
11 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Israeli asiye mwaminifu ameonyesha nafsi yake kuwa yenye uadilifu kuliko Yuda anayetenda kwa hila.+
41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki+ nao watakihukumu kuwa chenye hatia;+ kwa sababu wao walitubu juu ya lile alilohubiri Yona,+ lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Yona yuko hapa.