24 Yehova wa majeshi ameapa,+ akisema: “Hakika kama vile nilivyoazimia, ndivyo itakavyokuwa, na kama vile nilivyotoa shauri, hivyo ndivyo itakavyotimia,+
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+