-
Danieli 6:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Maofisa wote wakuu wa ufalme, manaibu wa maliwali na maliwali, maofisa wakuu wa kifalme na magavana, wamefanya shauri pamoja ili kuweka sheria ya kifalme+ na kupiga marufuku, kwamba mtu yeyote atakayetoa ombi kwa mungu yeyote au mwanadamu kwa siku 30 isipokuwa kwako, Ee mfalme, atupwe ndani ya shimo la simba.+
-