32 Nao wanakufukuzia mbali kutoka kati ya wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa mwituni.+ Watakupa majani ule kama ng’ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, mpaka ujue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu, na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo.’ ”+