33 Wakati huohuo+ neno lile likatimia juu ya Nebukadneza, naye akafukuziwa mbali kutoka kati ya wanadamu, akaanza kula majani kama ng’ombe. Mwili wake ukalowana maji kwa umande wa mbinguni, mpaka nywele zake zikawa ndefu kama manyoya ya tai na kucha zake kama kucha za ndege.+