Zaburi 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+