Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Ufalme wa nne+ nao utakuwa wenye nguvu kama chuma.+ Kwa vile chuma huponda na kusaga vitu vingine vyote, basi, kama chuma ambacho huvunja-vunja, huo utaziponda na kuzivunja-vunja hizi nyingine zote.+

  • Danieli 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Baada ya hayo nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mnyama wa nne, mwenye kuogopesha na mwenye kutisha na mwenye nguvu isivyo kawaida.+ Naye alikuwa na meno ya chuma, yaliyo makubwa. Alikuwa akirarua na kuvunja, na mabaki aliyakanyaga kwa miguu yake. Naye alikuwa tofauti na wale wanyama wengine wote waliokuwa kabla yake, naye alikuwa na pembe kumi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki