Danieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+ Ufunuo 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pia yeye akaniambia: “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa, kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.+
14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+
10 Pia yeye akaniambia: “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa, kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.+