Ezekieli 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na miguu yao ilikuwa miguu iliyonyooka, na wayo wa miguu yao ulikuwa kama wayo wa mguu wa ndama;+ nayo ilikuwa iking’aa kama mng’ao wa shaba iliyong’arishwa.+ Ufunuo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.
7 Na miguu yao ilikuwa miguu iliyonyooka, na wayo wa miguu yao ulikuwa kama wayo wa mguu wa ndama;+ nayo ilikuwa iking’aa kama mng’ao wa shaba iliyong’arishwa.+
15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.