Danieli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi nami—niliachwa peke yangu, nikaona hayo maono makubwa. Na ndani yangu hazikubaki nguvu zozote, na sura yangu ikabadilika na kuharibika, wala sikubaki na nguvu zozote.+
8 Mimi nami—niliachwa peke yangu, nikaona hayo maono makubwa. Na ndani yangu hazikubaki nguvu zozote, na sura yangu ikabadilika na kuharibika, wala sikubaki na nguvu zozote.+