Danieli 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye mfalme akaanza kusema nao, na kati yao wote hakupatikana yeyote aliye kama Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria;+ nao wakaendelea kusimama mbele ya mfalme.+ Danieli 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Danieli mwenyewe akaingia na kuomba mfalme ampe wakati maalumu ili amwonyeshe mfalme tafsiri ile.+
19 Naye mfalme akaanza kusema nao, na kati yao wote hakupatikana yeyote aliye kama Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria;+ nao wakaendelea kusimama mbele ya mfalme.+
16 Basi Danieli mwenyewe akaingia na kuomba mfalme ampe wakati maalumu ili amwonyeshe mfalme tafsiri ile.+