Danieli 11:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Na wakati wa mwisho mfalme wa kusini+ atasukumana naye, na mfalme wa kaskazini atafanya mashambulizi makali juu yake kwa magari na kwa wapanda-farasi na kwa meli nyingi; naye ataingia katika nchi hizo na kufurika na kupita katikati.
40 “Na wakati wa mwisho mfalme wa kusini+ atasukumana naye, na mfalme wa kaskazini atafanya mashambulizi makali juu yake kwa magari na kwa wapanda-farasi na kwa meli nyingi; naye ataingia katika nchi hizo na kufurika na kupita katikati.