11 nawe utasema: “Nitapanda juu ya nchi iliyo wazi ya mashambani.+ Nitawaingilia wale wasio na usumbufu, wanaokaa kwa usalama, wote wanaokaa bila ukuta,+ nao hawana hata mapingo na milango.”
18 “ ‘Na itatukia katika siku hiyo, katika siku ambayo Gogu atakuja juu ya nchi ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba ghadhabu yangu itapanda puani mwangu.+