41 “Na kama vile ulivyoona kuwa nyayo na vidole vya miguu vilikuwa sehemu moja ni udongo uliofinyangwa na nyingine ni chuma,+ ufalme huo utakuwa umegawanyika,+ lakini ugumu fulani wa chuma utakuwa ndani yake, kama vile ulivyoona chuma kimechanganyikana na udongo mbichi.+