Mwanzo 32:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya hayo akasema; “Niache niende, kwa maana kumepambazuka.” Naye akajibu, akasema: “Mimi sitakuacha uende mpaka unibariki kwanza.”+
26 Baada ya hayo akasema; “Niache niende, kwa maana kumepambazuka.” Naye akajibu, akasema: “Mimi sitakuacha uende mpaka unibariki kwanza.”+