Isaya 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+ Isaya 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko, na kichwa cha Damasko ni Resini; na katika muda wa miaka 65 tu Efraimu itavunjwa vipande-vipande ili isiwe kikundi cha watu.+
20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+
8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko, na kichwa cha Damasko ni Resini; na katika muda wa miaka 65 tu Efraimu itavunjwa vipande-vipande ili isiwe kikundi cha watu.+