Zaburi 69:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+