Mwanzo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri+ na Magogu+ na Madai+ na Yavani+ na Tubali+ na Mesheki+ na Tirasi.+ Zekaria 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana nitamkanyaga Yuda kama upinde wangu. Nami nitamtia Efraimu katika upinde, nami nitawaamsha wana wako, Ee Sayuni, kupigana na wana wako,+ Ee Ugiriki,+ nami nitakufanya kama upanga wa mwanamume mwenye nguvu.’+
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri+ na Magogu+ na Madai+ na Yavani+ na Tubali+ na Mesheki+ na Tirasi.+
13 Kwa maana nitamkanyaga Yuda kama upinde wangu. Nami nitamtia Efraimu katika upinde, nami nitawaamsha wana wako, Ee Sayuni, kupigana na wana wako,+ Ee Ugiriki,+ nami nitakufanya kama upanga wa mwanamume mwenye nguvu.’+