Amosi 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinifanya nione, na, tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alikuwa anaita mashindano kupitia kwa moto;+ nao ukateketeza kabisa kilindi kikubwa cha maji na kuteketeza kabisa ile sehemu ya shamba.
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinifanya nione, na, tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alikuwa anaita mashindano kupitia kwa moto;+ nao ukateketeza kabisa kilindi kikubwa cha maji na kuteketeza kabisa ile sehemu ya shamba.