Yeremia 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu hiyo vaeni nguo za magunia.+ Pigeni vifua vyenu na kupiga mayowe,+ kwa sababu hasira ya Yehova inayowaka haijaondoka juu yetu.+ Yakobo 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Haya! basi, enyi matajiri,+ lieni, mkipiga mayowe juu ya taabu zenu zinazokuja juu yenu.+
8 Kwa sababu hiyo vaeni nguo za magunia.+ Pigeni vifua vyenu na kupiga mayowe,+ kwa sababu hasira ya Yehova inayowaka haijaondoka juu yetu.+