Hesabu 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:“Ole! Ni nani atakayeokoka wakati Mungu atakapolisababisha?+ Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake. Ufunuo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa sababu siku kuu+ ya ghadhabu+ yao imekuja, na ni nani anayeweza kusimama?”+
23 Naye akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:“Ole! Ni nani atakayeokoka wakati Mungu atakapolisababisha?+
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.