Yeremia 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mimi, nitamvua Esau awe uchi.+ Nitafunua mahali pake pa maficho,+ na mtu hataweza kujificha.+ Hakika uzao wake na ndugu zake na jirani zake wataporwa,+ naye hatakuwapo.+
10 Lakini mimi, nitamvua Esau awe uchi.+ Nitafunua mahali pake pa maficho,+ na mtu hataweza kujificha.+ Hakika uzao wake na ndugu zake na jirani zake wataporwa,+ naye hatakuwapo.+