Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Luka 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yosefu pia akapanda kutoka Galilaya, kutoka jiji la Nazareti, akaingia Yudea, kwenye jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa mshiriki wa nyumba na familia ya Daudi,+
4 Yosefu pia akapanda kutoka Galilaya, kutoka jiji la Nazareti, akaingia Yudea, kwenye jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa mshiriki wa nyumba na familia ya Daudi,+