53 Watagawanyika, baba dhidi ya mwana, mwana dhidi ya baba, mama dhidi ya binti, binti dhidi ya mama yake, mama-mkwe dhidi ya binti-mkwe wake na binti-mkwe dhidi ya mama-mkwe wake.”+
2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+