Isaya 59:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+ Yeremia 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja;+ wakati wa kuponywa, lakini, tazama! hofu!+
9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+