Hosea 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana wameleta moyo wao karibu kama kwenye tanuru;+ unawaka ndani yao.+ Mwokaji wao analala usiku wote; kufika asubuhi tanuru lao linawaka kama kwa moto unaotoa miali.+ Mathayo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+ Matendo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa kulipokuwa mchana, Wayahudi wakafanya hila+ na kujifunga wenyewe kwa laana,+ wakisema hawangekula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.+
6 Kwa maana wameleta moyo wao karibu kama kwenye tanuru;+ unawaka ndani yao.+ Mwokaji wao analala usiku wote; kufika asubuhi tanuru lao linawaka kama kwa moto unaotoa miali.+
27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+
12 Sasa kulipokuwa mchana, Wayahudi wakafanya hila+ na kujifunga wenyewe kwa laana,+ wakisema hawangekula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.+