Zaburi 53:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+ Ezekieli 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnakula mafuta,+ na kujivika sufu ninyi wenyewe. Mnamchinja mnyama aliyenona.+ Hamlishi kundi lenyewe.
4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+
3 Mnakula mafuta,+ na kujivika sufu ninyi wenyewe. Mnamchinja mnyama aliyenona.+ Hamlishi kundi lenyewe.