Zaburi 107:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ameivunja milango ya shaba,+Naye ameyakata hata mapingo ya chuma.+ Isaya 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+
2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+