6 Ndiyo sababu simba kutoka msituni amewashambulia, mbwa-mwitu wa nchi tambarare za jangwani anaendelea kuwapora,+ chui anakaa macho kwenye majiji yao.+ Kila mtu anayetoka humo anararuliwa vipande-vipande. Kwa maana makosa yao yamekuwa mengi; matendo yao ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi sana.+