Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina. Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+ Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+
19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina.
9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+
9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+