Ezekieli 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Kwa mkono wa wageni utakufa vifo vya watu ambao hawajatahiriwa,+ kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” Ezekieli 32:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wewe unapendeza zaidi kwa kulinganishwa na nani?+ Shuka, nawe lazima ulazwe pamoja na watu ambao hawajatahiriwa!’+
10 “ ‘Kwa mkono wa wageni utakufa vifo vya watu ambao hawajatahiriwa,+ kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
19 “ ‘Wewe unapendeza zaidi kwa kulinganishwa na nani?+ Shuka, nawe lazima ulazwe pamoja na watu ambao hawajatahiriwa!’+