Hosea 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Nami nitaondoa majina ya sanamu za Baali kutoka katika kinywa chake,+ nazo hazitakumbukwa tena kwa majina yake.+ Zekaria 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+
17 “ ‘Nami nitaondoa majina ya sanamu za Baali kutoka katika kinywa chake,+ nazo hazitakumbukwa tena kwa majina yake.+
2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+