Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.

  • Ezra 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nao wakaimaliza nyumba hii siku ya tatu ya mwezi wa Adari,+ yaani, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.

  • Zekaria 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki