Zekaria 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akanionyesha Yoshua+ kuhani mkuu akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, naye Shetani+ akiwa amesimama kwenye mkono wake wa kuume ili kumpinga.+ Zekaria 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji la fahari,+ uliweke juu ya kichwa cha Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.
3 Naye akanionyesha Yoshua+ kuhani mkuu akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, naye Shetani+ akiwa amesimama kwenye mkono wake wa kuume ili kumpinga.+
11 Nawe uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji la fahari,+ uliweke juu ya kichwa cha Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.