7 Ndipo mtakapowaambia, ‘Kwa sababu maji ya Yordani yalizuiliwa kabisa kutoka mbele ya sanduku la agano la Yehova.+ Lilipopita kati ya Yordani, maji ya Yordani yalizuiliwa kabisa, na mawe haya yatakuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’”+