Yeremia 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+
23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+