Yeremia 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+ Ufunuo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeyote anayeshinda atarithi vitu hivi, nami nitakuwa Mungu wake+ naye atakuwa mwanangu.+
2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+