Zekaria 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Yehova Mungu wangu asema hivi, ‘Chunga kundi lililokusudiwa kuuawa,+ Zekaria 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na itatukia katika nchi yote,” asema Yehova, “kwamba sehemu mbili ndani yake ndizo zitakazokatiliwa mbali na kwisha;+ lakini sehemu ya tatu itaachwa ndani yake.+
8 “Na itatukia katika nchi yote,” asema Yehova, “kwamba sehemu mbili ndani yake ndizo zitakazokatiliwa mbali na kwisha;+ lakini sehemu ya tatu itaachwa ndani yake.+