Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+ Zekaria 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nalo likavunjwa siku hiyo, na hivyo wenye kuteseka wa kundi+ waliokuwa wakinitazama+ wakajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+
11 Nalo likavunjwa siku hiyo, na hivyo wenye kuteseka wa kundi+ waliokuwa wakinitazama+ wakajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.