Zekaria 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+ Ufunuo 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.
16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+
11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.