7 Naye akawa akifanya hivyo mwaka baada ya mwaka,+ kila mara alipopanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ Akawa akimsumbua hivyo, hivi kwamba akawa akilia na kukataa kula.
23 “Na hakika itatukia kwamba kutoka mwezi mpya mpaka mwezi mpya na kutoka sabato mpaka sabato wanadamu wote wataingia ili kuinama mbele zangu,”+ Yehova amesema.