Yeremia 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao makuhani Walawi, hatakatiliwa mbali mwanamume kutoka mbele zangu wa kutoa toleo zima la kuteketezwa na kufukiza moshi pamoja na toleo la nafaka na kutoa dhabihu sikuzote.’”+ Ufunuo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina.
18 Nao makuhani Walawi, hatakatiliwa mbali mwanamume kutoka mbele zangu wa kutoa toleo zima la kuteketezwa na kufukiza moshi pamoja na toleo la nafaka na kutoa dhabihu sikuzote.’”+
6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina.