Zaburi 69:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+ 1 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+