Marko 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Katika ufufuo atakuwa mke wa nani kati yao? Kwa sababu alikuwa mke wa wale saba.”+ Luka 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo, katika ufufuo, atakuwa mke wa nani kati yao? Kwa maana wale saba walimchukua kama mke.”+
33 Kwa hiyo, katika ufufuo, atakuwa mke wa nani kati yao? Kwa maana wale saba walimchukua kama mke.”+