Mathayo 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+ Luka 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Zaidi ya hayo, sawa na vile ilivyotukia katika siku za Noa,+ ndivyo itakavyokuwa pia katika siku za Mwana wa binadamu:+
27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+
26 Zaidi ya hayo, sawa na vile ilivyotukia katika siku za Noa,+ ndivyo itakavyokuwa pia katika siku za Mwana wa binadamu:+