Luka 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku ambayo hamtazamii na saa ambayo hajui,+ naye atamwadhibu kwa ukali ulio mkubwa zaidi na kumgawia sehemu pamoja na wale wasio waaminifu.+
46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku ambayo hamtazamii na saa ambayo hajui,+ naye atamwadhibu kwa ukali ulio mkubwa zaidi na kumgawia sehemu pamoja na wale wasio waaminifu.+