Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+ Luka 12:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ninawaambia ninyi kwa kweli, Yeye atamweka rasmi juu ya mali zake zote.+
24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+