Ezekieli 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Nanyi kondoo zangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+ Mathayo 13:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+
17 “ ‘Nanyi kondoo zangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+